Tuesday, August 17, 2010

Toronto Fc yaifunga Cruz Azul

Timu ya soka ya Toronto ambayo inashiriki katika ligi ya Mls(Major League Soccer) leo imeingia kwa kishindo katika ligi ya mabingwa kwa upande wa America (Concacaf )baada ya kuifunga timu ya Cruz azul ya Mexico. Ushindi umepatikana kwa mabao mawili yaliyofungwa na mshambuliaji Mista katika kipindi cha kwanza, Cruz Azul walipata bao la kufutia machozi katika kipindi cha pili. Mpachika mabao wa leo-Mista.

No comments: