Wednesday, May 26, 2010

50 Cent achonga

Mwanamuziki maarufu wa hiphop nchini marekani amepungua uzito kiasi cha kushangaza watu, Fiddy kama baadhi wanavyomuita amepungua toka 216 mpaka 140 kwa kunywa vimiminika na mazoezi mengine. Yote haya ni katika kutengeneza filamu ambayo amecheza kama mchezaji wa Football aliyeugua kansa, sinema hiyo itaitwa Things Fall Apart, kwa wapenzi wake wasiwe na wasi kwani ameshaanza kula baada ya kumaliza kazi na atarudia afya na mwili wake wa kawaida.

No comments: