Saturday, September 4, 2010

ALGERIA NA TANZANIA ZATOKA SARE YA 1-1

Timu ya Taifa ya Tanzania imetoka sare na timu ya taifa ya Algeria, Tanzania ndiyo ilikuwa ya kwanza kupachika bao kwa njia ya mpira wa adhabu.Algeria walisawazisha baadaye kwa shuti la mbali ambalo lilimshinda kipa wa Tanzania.

Goli la Tanzania lilifungwa na Abdi Kassim.

No comments: