Sunday, September 5, 2010

Maombi Nyumbani kwa Bashir na Sandra

Watanzania tulikusanyika hapo jana nyumbani kwa Bashir na Sandra kwa ajili ya maombi ya marehemu Charity ambaye ni dada ya Sandra,msiba umetokea huko nchini Afrika ya kusini na Sandra anatarajia kuondoka leo kuelekea kwenye shughuli za mazishi.

No comments: