Hello Wanachama,
Kwa niaba wa bodi ya TCA napenda kuwafahamisha kuwa tarehe rasmi ya Mkutano Mkuu wa chama pamoja na uchaguzi wa viongozi wapya utafanyika tarehe Jumamosi 9 Oktoba 2010 kuanzia saa 9 mchana hadi saa 12 jioni.
Taarifa zaidi zitafuata.
Rgds
Prosper
Katibu Mtendaji, TCA
No comments:
Post a Comment