Friday, September 17, 2010

Tangazo toka TCA

Hello Wanachama, Kwa niaba wa bodi ya TCA napenda kuwafahamisha kuwa tarehe rasmi ya Mkutano Mkuu wa chama pamoja na uchaguzi wa viongozi wapya utafanyika tarehe Jumamosi 9 Oktoba 2010 kuanzia saa 9 mchana hadi saa 12 jioni. Taarifa zaidi zitafuata. Rgds Prosper Katibu Mtendaji, TCA

No comments: