OFISI/WIZARA | WAZIRI | ||
1. | Ofisi ya Rais | 1. WN – OR – Utawala Bora Mathias Chikawe 2. WN – OR – Mahusiano na Uratibu Stephen Wassira | |
2. | Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma | Hawa Ghasia | |
3. | Ofisi ya Makamu wa Rais | 1. Muungano Samia Suluhu 2. Mazingira Dr. Terezya Luoga Hovisa | |
4. | Ofisi ya Waziri Mkuu | 1. Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi 2. Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu | |
5. | Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) | George Huruma Mkuchika Naibu-Aggrey Mwanri Naibu-Kassim Majaliwa | |
6. | Wizara ya Fedha | Mustapha Mkulo Naibu-Gregory Teu Naibu-Pereira Ame Silima | |
7. | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | Shamsi Vuai Nahodha Naibu-Balozi Khamis Suedi Kagasheki | |
8. | Wizara ya Katiba na Sheria | Celina Kombani | |
9. | Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa | Bernard K. Membe Naibu-Mahadhi Juma Mahadhi | |
10. | Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa | Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi | |
11. | Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi | Dr. Mathayo David Mathayo Naibu-Benedict Ole Nangoro | |
12. | Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia | Prof. Makame Mnyaa Mbarawa Naibu-Charles Kitwanga | |
13. | Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi | Prof. Anna Tibaijuka Naibu-Goodluck Ole Madeye | |
14. | Wizara ya Maliasili na Utalii | Ezekiel Maige | |
15. | Wizara ya Nishati na Madini | William Mganga Ngeleja Naibu-Adam Kigoma Malima | |
16. | Wizara ya Ujenzi | Dr. John Pombe Magufuli Naibu-Dr.Harrison Mwakyembe | |
17. | Wizara ya Uchukuzi | Omari Nundu Naibu-Athumani Mfutakamba | |
18. | Wizara ya Viwanda na Biashara | Dr. Cyril Chami Naibu-Lazaro Nyalandu | |
19. | Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi | Dr. Shukuru Kawambwa Naibu- Philipo Mulugo | |
20. | Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii | Dr. Haji Hussein Mpanda Naibu-Dr Lucy Nkya | |
21. | Wizara ya Kazi na Ajira | Gaudensia Kabaka Naibu-Makongoro Mahanga | |
22. | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto | Sophia Simba Naibu-Umi Ali Mwalimu | |
23. | Wizara ya Habari, Vijana na Michezo | Emmanuel John Nchimbi Naibu-Dr Fenella Mukangara | |
24. | Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki | Samuel John Sitta Naibu-Dr. Abdalah Juma Abdallah | |
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika | Prof. Jumanne Maghembe Naibu-Christopher Chiza | ||
26. | Wizara ya Maji | Prof. Mark James Mwandosya Naibu-Eng. Gerson Lwinge |
Wednesday, November 24, 2010
Baraza la Mawaziri la Serikali ya Tanzania -2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment