Monday, November 15, 2010

Matokeo ya Uchaguzi-TCA

Wajumbe wa mkutano mkuu wa TCA kwa pamoja walichagua viongozi wao wa jumuia kulingana na matakwa ya katiba. Zifuatazo ni picha na majina ya viongozi wapya.

Aliko Mwakatobe-Mwenyekiti

Patrick Kamera-Katibu

Yasmin Kassam-Mweka Hazina

Richard Mwakijale-Mwenyekiti Vijana
Rami Hamisi-Mwenyekiti Uanachama
Adam Kasela-Mwenyekiti Jamii/Starehe
Dr Donatus Mutasingwa-Mwenyekiti Elimu

Wajumbe wa mkutano mkuu na viongozi wapya.

No comments: