Wajumbe wa mkutano mkuu wa TCA kwa pamoja walichagua viongozi wao wa jumuia kulingana na matakwa ya katiba. Zifuatazo ni picha na majina ya viongozi wapya.
Aliko Mwakatobe-Mwenyekiti
Patrick Kamera-Katibu
Yasmin Kassam-Mweka Hazina
Richard Mwakijale-Mwenyekiti Vijana
Rami Hamisi-Mwenyekiti Uanachama
Adam Kasela-Mwenyekiti Jamii/Starehe
Dr Donatus Mutasingwa-Mwenyekiti Elimu
Wajumbe wa mkutano mkuu na viongozi wapya.
No comments:
Post a Comment